Asante Clifford ndio hali halisi ya maisha niliyopitia acha hayo matukio tukio lililonisikitisha zaidi ni mimi kuambiwa na baba yangu kulala na maiti hilo nitukio lilinifanya niadhirike kichwani hadi leo nilikuwa nafanya matukio yote kakini tukio hilo liliniuma sana!
ITAENDELEA
No comments