Header Ads

Header ADS

Chombezo: house girl wa dada sehemu ya sita (06)

 


Ongeaaaaaa unamtaka nin mdogo wanguuu! Waliendelea kubishana pale na zikawa fujo majirani walikusanyika na kushuhudia tukio lile mimi nikiwa kitandani nilikuwa siwez kuongea tena ila kusikia nasikia kinachoendelea




Dada yangu alimvuta alice na kumpigiza ukutani hapo aliamsha mashetani yote ya alice alianza kubadilika na kutokuwa na umbo maalum Mara nyoka, Mara mtoto yaani hakuwa na umbo maalumu la kueleweka




Hakika zilikuwa fujo na story nyingine pale mtaani dada yangu aliamua kumpigia simu shemeji yangu na alikuja akiwa na rafika yake alishangaaa sana kukut hali ile pale nyumbani!




Wakati fujo zile zikiendelea alipita mzee mmoja alikuwa anaendesha baiskeli alifika pale na kuuliza kunanini hapa?




Majiran wachache walianza kumumwambua kuwa house girl wa dada huyu ni mchawi na anaonekana kama jini alitaka kumdhuru kijana yule aliyeletwa pale sebuleni




Mzee yule alikuwa anaitwa nzee meshaki aliingia ndani moja kwa moja na kunikuta dam zikiwa zinatoka shemeji alitaka kunipeleka hospital lakin mzee Yule alikataa aliinuk pale na kutoka nje kufungua mzigo wake




Alivyorudi aliludi na bible mkononi na kusema kama kweli huyu kijana anateswa na house girl huyu kuanzia leo uchawi na mashetani yote yatatoka humu ndani aliongea hivyo huku alice akiwa anahasira sana macho yake yalikuw yamebadilika na kuwa kama ya paka na mara yalikuwa meusi




Hapo mzee Meshaki alianza kuomba aliomba sana mzee yule hakika alikuwa anajua kuomba alizidi kuomba sana ndani ya nusu saa alice alilegea na kuanguka chuni




Wakati ameeanguka chini mzee alimfuata pale alipokuwa amelala alice na alimshika kichwa kwa muda ule niliweza kumiona Bibi kizee yule akiwa amesimama mbali na muombaji yule huku akirusha miale yake bahati nzuri mzee aliyekuwa akiomba alikuwa eshikilia bibble hivyo ile miale haikuweza kumfikia mzee yule!


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Alice alivyoanguka chini alianza kupiga fujo San kila mtu alishangaa sana na Bibi yule alizidiwa na kuondoka zake alimuacha alice akiwa ameshikiliwa huku akipiga fujo sana baada ya saa moja kupita huku yule mzee meshaki akizidi kuomba.




Alice alizidi kulege na kuanza kuongea kwa kuomba msamaha hapo aliongea vyote alivyokuwa akifanya tangu utotoni na kwa nini alifikia hatua ya kuwa vile!




Na kusema nani aliyesababisha yeye kuwa vile na kupandikizwa jini mwilini mwake!




Alice aliliegea sana na nguvu kumuishia baada ya kuombewa na mzee meshaki ambapo alianza kumuuliza kwa nini unaisumbua familia hii nan alikutuma uje kuisumbua familia hii




Alice alianza kuelezea mkasa wote kwa nini huwa anakuwa katika hali ile na kwa nini huw hali chakula kingi




Alianza kutoa historian ya baba yake kumbe aliweza kumkabidh maswala ya uchawi kipindi ndio yuko darasa la tano tu na alikuwa anauwa vijana wa kiume umri kuanzia kiaka 15 hadi 25




Na pia alisema huwa anauwa watoto wadogo wa kike ambao ndio wamezaliwa hivyo alikuwa ameplan kumuuwa mtoto wa dada yangu na mimi pia




Ila alikuwa akisita kimiuwa kwa sababa familia yake ilipenda niwe mme wake na walitaka nikabidhiwe kila kitu maswala ya utajili maana alisema baada ya kukabidhiwa uchawi alizidi kuwa maarufu kwa kazi yake




hivyo kila sehemu alikuwa anaenda kiasi kwamba ilifika hatua akawa na uwezo wa kuzama chini ya bahari kwenda kuongea na mawakala zake




Na yule Bibi ndio aliyempeleka na yeye chini ya bahari kwa ajili ya kuwa na nguvu kubwa sana na kuitawala dunia kiuchawi na awe na asili ya jini




hivyo alizidi kuelezea jinsi chakula alivyokuwa akikipika na kukileta mezani nakusema alikuwa hapiki, yeyeCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/




wakati mwingine aliwatumia ndugu zake kuweza kumsaidia kupika lakin walikuwa wanapika wakiwa uchi na kupanga chakula walipanga wakiwa uchi pia




juice wakat mwingine alikuwa anatengeneza juice ya dam iliyochanganywa na mikojo hakika alielezea vitu Ving sana siku hio!




Mzee meshaki alimuuliza unataka mini ndani ya nyumba hii alice alisema namtaka huyu mtoto na huyu kaka maana ndio ilikuwa target yangu niwapate ila huyu mtoto namtaka akiwa amekufa na huyu kaka namtaka awe mme wangu




Mzee meshaki alikemea Mara moja alice alizimia na kupoteza faham ziku hio walimnenyua na kumpeleka chumbani kwa ajili ya kumpumzisha mzee meshaki hakutaka kumuacha alimfuata hukohuko na kuzudi kumuombea




BONYEZA HAPA UPATE MEMES KUPITIA SIMU YAKO


ITAENDELEA

No comments

Powered by Blogger.