Header Ads

Header ADS

Chombezo: house girl wa dada sehemu ya tano (05)



Bibi yule aliniangalia na kuniangazia miale yake kutoka machoni mwake lakin sikujua ujasili wa kubishana nao ulitoka wapi sikuwez kupanua mdomoCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/




ulifungwa kabisa hapo aliace alianza kulia huku nilikiwa sina hata dalili ya kula chakula kile!




Baada ya kugoma kula bibi alimwambi alice anirudishe duniani na kusem mrudishe siku nyingine




Alice alinivuta mkono kwa hasira na kuanza kutoka kule chini baada ya dakika kadhaa tulifika nchi kavu na kuelekea nyumbani ilikuwa imeshakuwa saa kumi na moja asubuhi tulifika na alice alinirudisha palepale kitandani kwangu




Nilivyoamka asubuhi nilihisi nimechoka sana na mdomo ulikuwa na dam niliwaza hizi dam nimezitoa wapi lakin alice alikuja na kuniambia usiku umenikera sana umekataa kula chakula cha kwetu kumbe hunipendi na nakuahidi hivi ukitaa tena wakati mwingnie nitamuuwa dada yako na mtoto wake .




Hapo niliwaza na kujisemea nilijua alice ni mchawi kumbe ni jini?




Duuuu hapa kazi ninayo maana kujitoa kwake ingekuwa ngumu sana na niliwaza kumwambia dada siku hio na nilienda na kumuita Dada yangu alivyokuja nilitaka kumueleze matukio yote kuwa alice sio binadamuCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/




Gafla yule bibi alitokea na kuninyoshea kidole tena hapohapo alice alikuja na kukaa sebuleni huku akiniangalia kwa jicho kali sana nilishikwa na kigugumizi cha kuongea


Maana alice yuko sebuleni hataki kutoka na bibi yuko pembeni yangu huku akiwa amesimama niliamua kukaa kimya dada yangu hakuelewa ninemuitia nini na niliinuka na kuelekea chumban kwangu nilpofungua mlango nilikuta hela zimefungwa vizuri zikiwa kitandani kwangu!




Nilivyoingia chumbani kwangu nilikuta burungutu la hela zimefungwa vizuri zikiwa kitandani kwangu hapo sikuweza kuwaza nifanyeje nilizikusany na kuziweka kwenye begi langu




Wakati namalizia kuweka alice alinifuata chumbani kwangu na kunishika bega na alisema unaenda kuwa tajiri sana maana mama yangu anakupenda na ukitka kitu chochote muombe atakupatia




Nilimwangalia na kusema utajili wangu utakuawa wa harali na wahaki sio kama huu wa kupewa!




Alice alitoka pale na kwenda kuendelea na kazi zake nilibaki nimekaa kitandani kwa muda huo Neema ambaye ni mpenz wangu alinipigia Sim na kunisalimia wakati naendelea kuongea Alice alingia chumbani kwangu huku akipitia ukutani




Alinyoosha mkono na kunipora simu huku akisema sitaki uwe na mwanamke mwingine alitoka na kwenda kuendelea na kazi zake!.




Muda wa usiku chakula kiliiva niliitwa lakin nilikuwa sina hamu ya chakula hivyo sikuweza kwenda kula na alice aliahirisha kula.




Niliendelea kulala na usiku wa manane ulivyofika niliweza kustuka kutoka usingizi nilianza kusikia sauti za watoto tena chumbani kwa alice na alikuwa akiongea niliamua kuamka na kunyata kwa ajili ya kwenda kuchungulia




Nilivyofika mlangoni nilifanikiwa kuchungulia na niliona nyoka mkubwa sana imejikunya kitandan kwake hap nilianza kutetemeka na kuanza kutoka pale wakati natoka Dada yangu aliniona




Aliniuliza umetoka kufanya nin chumbani kwa alice sikuweza kuongea kitu nilimvuta mkono na kumpeleka achungulie ashuhudie mwenyew tukio lile


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Alifanikuwa kuangalia alikuta nyoka mkubwa sana alishangaa sana maana alikuwa hajui chochote kinachoendelea mle ndani!




Alitoka pale huku haamini alichokiona chumbani kwa alice alijisemea itabid kesho nimrudishe kwao.




Nilifungua mlango na kuingia chumbani kwangu lakin cha kushangaz nilimkuta yule bibi chumbani kwangu na alikuwa amelowa dam kweye nguo zake




Hapo sikufikilia nifanye nin nilistukia nimepiga magoti na kuanza kumuomba mungu aniepushe na dhahama ile niliomba duuuu wakati nilikuwa sijui kuomb lakn siku hio niliweza kuomba aisee




Yule Bibi aliniangalia kwa jicho Kali sana.na mimi sikuweza kumuogopa mwishowe aliondoka bila kunidhuru hapo niliinuka na kuoanda kitandani!




Nilikuwa ata sijamaliza dakika mbili alice aliingia na alininyoshea mkono wake ilitoa miale ndani ya mkono wake alinilegeza sana sikueweza kuwa na nguvu za kuinuka na alinisababishia kuwa bubu kuanzia hapo sikuweza kuongea tena




Na mwili ulilegea sana na sikuwa na uwezo wa kuongea chochote!




Kwa usiku huo nilionja joto la jiwe maana nilikuwa nahisi mwilivwangu unachomwa sindano na kujikuna nilikuwa siwez hivyo nilijuta kuzaliwa




Baada ya muda kadhaa Alice alikuja tena na kusema hiyo ni adhabu ndogo tu inayokuja utajuta kunifaham!




Asubuhi ilifika ikiwa bado niko vilevile na dada yangu aliniita kwa ajili ya kunipa maagizo aliita sana na nilimsikia lakin sikuweza kuitika




Aliamua kuingia chumbani kwangu na kunikuta nimelala nikiwa nimelegea na siongei chochote alianza kujiuliza mdogo wangu kulikoni umekuwa hivi


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Alitaka kumuita daktari wake lakin nilitikisa kichwa ishara ya kumkatalia aliamua kutoka nje kwa ajili ya kutafuta msaada zaidi kwa majilani!




Wakati ametoka nje alice alikuja chumbani kwangu na kusema nakurudisha kwenye hali yako ya kawaida ole wako uongee chochote leo nakuua




Alininyoshea tena mkono na nilipata nguvu na kuinuka kitandani nilienda kukaa sebuleni Dada alivyorudi alinimkuta nimekaa sebuleni pale alibaki anashangaa!






baaada ya dada yangu kuingia na kunikuta nimeshaamka alishangaa sana alianza kuniuliza lakin sikutaka ajue maana ningesema ningehatarisha maisha yake na mtoto wake!




Aliniuliza ilikuwaje lakin sikusema na kwaupande wake alianza kumuuogopa alice kuanzia siku hio maana usiku ule alishuhudia nyoka mkubwa kitandani kwake hapo alianza kuwaza kumrudisha nyumbani kwao!




Niliendelea kukaa pale sebulen na alice aliivisha chai mimi nilikataa chakula chake niliinuka na kwenda kula mgahawani nilifika pale nikaagiza chapati tatu na chai ya maziwa nililetewa chapati na kikombe cha chai




Nilivyoanza kumimina badala ya kutoka maziwa zilitoka dam ndani ya chupa nilishangaa sana na nilivyoziangalia chapati nikaona funza wamejaaa nilijiinamia na kuwaza kulikoni nilivyoinuka nilimuona alice mbele yangu akiwa amekaa nilishka na moyo kwenda mbio




Aliniangalia xna alice akasema utakapokuwa popote pale mimi nitakuwepo umezila chakula changu sasa unazidi kuongeza matatizo!




Kwa muda wote ule mama mwenye mgahawa akikuwa akiniangalia aliniona nilivyokuwa nikipumua kwa nguvu akiangalia kinachosababisha mimi kuwa vile hakioni aliamua kuja kunistua wew kijana kulikoni! Nilistukia nimelopoka aliceeeeeeee


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Heeeee ndio nani? Aliuliza au umeachwa maana vijana nyie mna mambo mengi


Nikasema hapana mama nistory ndefu unavyoniona hapa nimetoka nyumbani kuna tatizo kubwa sana




Tatizo gani mwanangu!


Nilitaka nianze kuongea nilisikia kibao cha shavuni aliyenipiga sikumuona nilitoka nakimbia hadi nyumbani na sikumlipa yule mama hela yake




niliiingia ndani na kumkuta dada amekaa sebuleni nilipitiliza hadi chumbani kwangu na kukaa kitandani! Dada alinifuata na kuniuliza kulikoni


Nikasema aliceeeeee dada atamiuwa mimiiiiiii




Atakuwa?? Mbona sikuelewi


Utanielewa dada alice siyoooooo!!


Sikumalizia kuongea nguvu zikaisha damu zikaanza kuchuruzika kutoka puani maana nilikimbia sana siku hio nililala kitandani




Hapo dada hakuwa mpole tena ilianza vita kati ya alice na dada yangu


Dada yangu alimuita na kumuuliza kulikoni mbona Clifford yuko hivi na chanzo ni wew naomba uongee vinginevyo Leo utanijua mimi ni nani!


BONYEZA HAPA KUPATA SMS NURI ZA MAPENZI


INAENDELEA

No comments

Powered by Blogger.