Header Ads

Header ADS

Simulizi: safari sehemu ya pili (02)

 


Watumwa wote waliamini ya kuwa nanarudi kwao, basi kila nyimbo zilipigwa ndani


ya majahazi hayo, waliotumia kusafilia huku furaha ikizidi na kutaamani kupaaa


ndani ya dakika chache tu wafike.


MGAZA mfalme alimuamuru kjakazi wake mmoja ajurikanae kama "YOROBI" kuangalia


wamebakiza kilomita ngapi kufika kwenye ngome yao nae alifanya haraka huku


akionesha juhudi zidi ya hamri aliyopewa na mfalme wake alitizama na ndipo


alipotamka na kusema.


YOROBI"mkuuuu wangu tumebakiza kilomita chache tu kwani hapa tulipo ni robo


tatu ya sehemu tuliyotoka matumaini ya kufika mapema nyumbani yapoooo"


MGAZA "Okey sawa yorobi nimekuelewa basi waambie vijana wenzako juuu ya


kuchochea vizuri hizo jahazi tuwahi kufika sawa"


YOROBI "sawaaa mfalme nafanya hivyo mara moja wala usijariiii mkuuu wangu"


yorobi aliamlisha vijana wenzake na ndipo walipotia juhudi kubwa kwa tamko


alilosema mfalme wao MGAZA basi ilimbidi yorobi awe msitali wa mbele


kuhakikisha hiyo shughuri ya kufanya vyombo vitembee haraka ilikuwa yake.


Kasi ilipokuwa kubwa basi vijakazi wote walianza kuchoka na ndipo hakiba ya


chakula ikaagizwa kwani kulukuwa na mikate na soda ili kufanya mwili uwe na


nguvu na kuendelea na kazi. 


PATA VICHEKESHO MEMES KUPITIA SIMU YAKO


ITAENDELEA

No comments

Powered by Blogger.