Simulizi: safari sehemu ya pili (02)
Watumwa wote waliamini ya kuwa nanarudi kwao, basi kila nyimbo zilipigwa ndani
ya majahazi hayo, waliotumia kusafilia huku furaha ikizidi na kutaamani kupaaa
ndani ya dakika chache tu wafike.
MGAZA mfalme alimuamuru kjakazi wake mmoja ajurikanae kama "YOROBI" kuangalia
wamebakiza kilomita ngapi kufika kwenye ngome yao nae alifanya haraka huku
akionesha juhudi zidi ya hamri aliyopewa na mfalme wake alitizama na ndipo
alipotamka na kusema.
YOROBI"mkuuuu wangu tumebakiza kilomita chache tu kwani hapa tulipo ni robo
tatu ya sehemu tuliyotoka matumaini ya kufika mapema nyumbani yapoooo"
MGAZA "Okey sawa yorobi nimekuelewa basi waambie vijana wenzako juuu ya
kuchochea vizuri hizo jahazi tuwahi kufika sawa"
YOROBI "sawaaa mfalme nafanya hivyo mara moja wala usijariiii mkuuu wangu"
yorobi aliamlisha vijana wenzake na ndipo walipotia juhudi kubwa kwa tamko
alilosema mfalme wao MGAZA basi ilimbidi yorobi awe msitali wa mbele
kuhakikisha hiyo shughuri ya kufanya vyombo vitembee haraka ilikuwa yake.
Kasi ilipokuwa kubwa basi vijakazi wote walianza kuchoka na ndipo hakiba ya
chakula ikaagizwa kwani kulukuwa na mikate na soda ili kufanya mwili uwe na
nguvu na kuendelea na kazi.
PATA VICHEKESHO MEMES KUPITIA SIMU YAKO
ITAENDELEA

No comments